NEW

6/recent/ticker-posts

Advertisement

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KUTENGENEZA SABUNI

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI WA KUTENGENEZA SABUNI

1.Vaa gloves ,mask na viatu vigumu kabla hautaanza kutengeneza sabuni

2.Pima kemikali kwa kipimo maalumu usikadirie 

3.weka mbali na watoto kemikali

4.weka chumba maalumu kemikali usiweke chumba cha kulala viumbe hai

1.2 SABABU YA SABUNI KUJIKATA AU KUJITENGA

1.kuzidi kwa chumvi

2.kuzidi kwa pafyumu 

3.uvivu wa kukoroga 

4.kupitwa kwa wakati kwa kemikali

5.kuzidi kwa soda ash

Ili kuepuka tatizo hili fuata vipimo na taratibu zilizoelezwa kwenye kitabu hiki

KAMA UNAHITAJI SOFT COPY YA KITABU NI TSH 20,000 TU UNATUMIWA WHATSAPP AU KWENYE EMAIL YAKO.






                             

1.3 VIFAA VYA USALAMA NA VITENDEA KAZI


 

Vitendea kazi

Kazi yake 

1

2

3

4

5

6

7

8

Face mask

Huvaliwa usoni kulinda kemikali

Ndoo 

Kwa ajili ya kukorogea sabuni

Gloves 

Kukinga kemikali mikononi

Hydrometer 

Kupima kiasi cha dawa kwenye maji

Pipa 

Kukorogea sabuni 

Mwiko mkubwa

Kukorogea sabuni

Mzani

Kupimia

Safe buti

Kiatu kigumu kujikinga na kemikali


1.4 VIFAA VYA MSINGI KATIKA UTENGENEZAJI WA SABUNI ZA MAGADI NA TIBA 

KIPIMIO 

1.5 KAZI YA MALIGHAFI


1          SULPHONIC

ACID

Kazi yake kutakatisha nakuipa nguvu sabuni

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

 

SLESS

Kazi yake kuongeza povu katika sabuni

SODA ASH

Kazi yake kumua sabuni na kuipa nguvu sabuni

CMC/ALKA 2

Kuongeza uzito wa sabuni

GLYCERINE

Kurainisha sabuni 

RANGI

Kubadili muonekano

DM DMH 

Kutunza sabuni isiharibike 

PH

Kupima acid na base 

MAJI  

Kutengeneza sabuni

CDE

Kuongeza sabuni povu na kuipa nguvu

CITRIC ACID

Kuongeza ph na kutunza 

CHUMVI

Kuongeza uzito na kutunza sabuni 

ETHANOL

Kutunza sabuni isiharibike  

 

 

1.6 SABUNI YA MAJI |( kanuni ya kwanza)  Mahitaji

1.Sulphonic Acid -Lita 1

2.Sless -500g

3.Soda Ash- 500g

4.Glycerine -250g

5.Cde -200g

6.Alka 2 _100g

7.Sodium Sulphate -300g

8.Rangi _2g

9.Perfume  50g

10.Maji_ 17.5

11.Dm dmh -40mls

12.Ph Inayotakiwa 6_8

           

Jina la       Maji  lita malighafi   5

Maji lita 10

Maji lita 20

Maji lita 20

Sulphonic

aci 

Sless

Soda ash

Glycerine

Cde

Akla

2/cmc

Chumvi

Pafyumu

250ml

500ml

Lita 1

Lita 2

125ml

250ml

500ml

Lita 1

125g

250g

500g

1kg

63ml

125ml

250ml

500ml

50ml

100m

200ml

400ml

25g

50g

100g

200g

125g

250g

500g

1000g

20 ml

40ml

40ml

60ml


Hatua Za  Utengenezaji

1.  Chukua ndoo weka Sulphonic Acid KwenyeChombo Cha Kukorogea ,koroga Soda Ash LightKwenye Maji Lita Moja Na Nusu Mimina Kwenye

Sulphonic Acid Koroga 

2.    Weka Sless Kwenye Mchanganyiko Wako Anza   Kukoroga .

3.    Weka Maji Kidogo Kidogo Lita 10 lita kumi zilizobakia korogea  alka tu kisha mimina kwenye ndoo yenye mchanganyiko ule wa mwanzo

4.    Weka Cde,Ongeza Glycerine Koroga

5.    Weka Rangi Na Perfume

6.    Weka Dm Dmh /Nu-Care

7.    Pima Ph 

8.    Weka Kwenye Vifungashio Na Fungasha


1.6.1.UTENGENEZAJI WA SABUNI YA

MAJI (kanuni ya pili

MALIGHAFI.


1.sulphonic acid -Lita moja

2.Siles au ungarol-lita moja

3.soda ash-vijiko 15 vya chakula

4.CMC-VIJIKO 6 vya chakula

5.Maji Lita 30

6.grisalini -vijiko 8

7.pafyumu -kijiko 1-2 vya chakula

8.rangi- kijiko kimoja

9.chumvi ya mawe kilo moja Ila usiweke yote

10.Dm dmh –vijiko 5 vya chakula

 

MAHITAJI Maji lita Maji lita Maji

                               7.5           15             lita30

Maji lita 60

Sulphonic acid 

Sless 

Soda ash

CMC /alka 

Glycerine

Robo

lita 

Nusu

lita

Lt 1

It 2 

Robo

lita

Nusu

lita

Lt 1

Lt 2

Vijiko 4

Vijiko 8

Vijiko 15

Vijiko 30

Vijiko

1.5

Vijiko 3

Vijiko 6

Vijiko 12

Vijiko 2

Vijiko 4

Vijiko 8

Vjiko 16

Pafyumu 

Rangi 

Nusu

kijiko

Kijko1

Vijiko 2

Vijiko 4

Robo

kijk

Nusu

kijk

Kijk 1

Vijk 2

Chumvi 

Robo kg

Nusu kg

Kg 1

Kg 2

 

Vifaa vya kutengenezea

1.jaba au ndoo

2.mwiko  mkavu

3.gloves

4.mask

5.overral

Angalizo: Kuwa makini kuna baadhi ya kemikali hatari kwa afya. 

KAMA UNATAKA KITABU CHA MAFUNZO CHA KUTENGENEZEA SABUNI N.K  AMBAYO HAYAPO POPOTE UTAYAPATA KWENYE KITABU HIKI BONYEZA HAPA 

Buy on



Hakimiliki©2022 Jumanne255 Haki Zote Zimehifadhiwa. Makala hizi hutolewa kwa ajili ya kuboresha maisha yako. Ruksa "kushare" na usibadili kitu chochote bila ya idhini/ruhusa ya mwandishi.


Post a Comment

0 Comments